May 13, 2013

Samsung kuanza kutoa huduma ya internet ya 5G kuanzia mwaka 2020

Mabadiliko katika teknolojia ya mtandao yamekuwa sana kiasi kwamba kila mwaka kunakuwa na mbadiliko makubwa sana na kupiga hatua katika binadamu kuweza kupambana na mazingira yake.
Kutoka katika enzi za kutumia kutumia GPRS lakini sasa teknolojia ya 4G inatumika na kukupa internet ya haraka mno pamoja bado haijafika katika nchi zetu hizi za Afrika.Pamoja na hayo kampuni ya samsung imesema itaanzisha teknolojia nyingine ya internet itayoitwa fifth generation(5G) ambayo itakuwa na kasi ya kuweza kudownload 1gigabyte kwa sekunde ina maana unaweza download movie kwa chini ya sekunde moja,hii ni hatua kubwa ya kurahisisha mawasiliano.

No comments :

Post a Comment