May 15, 2013

Nini kipya kitakuja toka Google I/O mwaka huu.

Leo ndiyo siku ambayo mkutano mkuu wa kampuni ya Google unaowakutanisha developers mbalimbali toka duniani kote unaanza,mpaka sasa hakuna cha uhakika ambacho kimethibitishwa kuwepo ila uvumi wa kuzinduliwa android os mpya iitwayo key lime pie na nexus device nyingine mpya.Habari kamili kaa nasi tutakuwa tunakupa updates kadiri mambo yanavoendelea huko Moscone center,San Fransisco,Marekani.

No comments :

Post a Comment