Pamoja na Google kutotangaza simu au tablet yoyote mpya katika mkutano wa Google I/O hivi karibuni.Tetesi zimezagaa mtandaoni kuhusu ujio mpya wa tablet za nexus 7.
Kama unavyoona katika picha hapo juu hapo haionekani kama nexus 7 ya sasa ambapo ule weusi unaizunguka kioo(bezel) unaonekana umepunguzwa kidogo.
Inaaminika kwamba tab hii itakuwa na HD display na Qualcomm CPU.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment